Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Friday, January 4, 2013

WAKORINTO WAKAMILISHA USAJILI WA PATO

 Pato Arsenal
Klabu ya Corinthians imekamilisha usajili wa mshambuliaji Alex Pato kwa kiasi cha sh 15m.Mchezaji huyo ambaye ameamua kurudi nchini Brazil kunako klabu hiyo ya Corinthians ili aweze kujiimarisha kwani amekuwa akisumbuliwa sana na majeruhi yaliyomfanya muda mwingi kuwa nje ya uwanja.Pato anataraji kusaini mkataba wa miaka minne huku akipewa jezi namba saba.

0 comments:

Post a Comment