Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Profile



Naitwa Edgar Kibwana.

Ni mfuatiliaji na mchambuzi wa michezo mbalimbali duniani ukiwepo mchezo wa mprira wa miguu maarufu kama (soka).Nilianza kufuatilia soka takribani miaka 10 iliyopita katika ligi ya ndani ya nchi yetu ya Tanzania lakini pia nilipata fursa ya kufuatilia soka la nje ya nchi kwa kuzitazama ligi za nchi mbalimbali kama Ujerumani, Italia, Uingereza na michuano ya klabu bingwa Afrika, klabu bingwa ulaya, mataifa Afrika, kombe la mataifa ulaya, Amerika ya Kusini,Olimpiki na bila kusahau kombe la dunia.
Katika kutimiza azma yangu ya kuwa mchambuzi wa kimataifa katika soka, nimeanzisha blog itakayokuwa na uchambuzi wa soka pamoja na michezo mingine kama mpira wa kikapu nk.lengo likiwa ni kuzidi kuwahabarisha wadau wa michezo na kujaribu kushea mambo mbalimbali katika kuongeza weledi wa mambo, kutoa burudani au kupata burudani kupitia michezo.Nipo pamoja na wachambuzi wenzangu Wilson au Willy, Rahim, Salum, Jumanne na tunakaribisha wengine watakouguswa na uchambuzi wetu. Karibuni sana katika kutoa uchambuzi bila kusahau maoni.

Tuungane pamoja katika edgarkibwana.blospot.com
KARIBUNI SANA.


Mob: 0714 041236
Face book: Edgar kibwana

0 comments:

Post a Comment