
Klabu ya Chelsea inaweza kufanya kufuru kwa kumsajiri mshambuliaji wa Atletico Madrid Radamel Falcao katika kipindi cha dirisha dogo la usajiri january.Dili hilo litasimamiwa na wakala maarufu Jorge Mendes ambaye ndiye wakala wa mchezaji huyo Radamel Falcao.Roman Abrahamovich anataka kila kitu kimalizwe mapema ili Falcao aweze kutua darajani kwa kwa pauni milion 48 ingawa Atletico De Madrid wanataka zaidi ya hiyo hela kwani katika mkataba wake Radamel Falcao anatakiwa kuuzwa si chini ya pauni milioni 60.Swali je ujio wa Falcao na uwepo wa Fernando Torres utaifanya Chelsea iwe tishio katika EPL nchini Uingereza??toa maoni yako katika hilo.
![]() |
Baba na mwana-Essien na kocha wake mpya Jose Mourinho |
0 comments:
Post a Comment