Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Monday, January 28, 2013

PIRLO MCHEZAJI BORA ITALIA

Andrea Pirlo

Hatimaye kiungo nyota wa klabu ya Juventus na timu ya taifa ya Italia Andrea Pirlo amekumbukwa katika tuzo za wachezaji bora katika Ligi kuu ya soka nchini Italia maarufu kama Serie A.Tuzo hizo zinazojulikana kama Gran Gara Del Calcio kutoka kujulikana kama Oscar Del Calcio zilishuhudia kura zaidi ya 600 zikipigwa na watu mbalimbali.

Mtiririko wa tuzo hizo ni kama ifuatavyo.

Best Goalkeeper: Gianluigi Buffon (Juventus)
Best Right-back: Christian Maggio (Napoli)
Best Centre-backs: Thiago Silva (Milan/PSG) and Andrea Barzagli (Juventus)
Best Left-back: Federico Balzaretti (Roma)
Best Midfielders: Andrea Pirlo (Juventus), Antonio Nocerino (Milan), Claudio Marchisio (Juventus).
Best Forwards: Zlatan Ibrahimovic (Milan/PSG), Edinson Cavani (Napoli), Antonio Di Natale (Udinese).
Best Overall Player: Andrea Pirlo (Juventus)
Best Coach: Antonio Conte (Juventus)
Best Young Players in Serie A: Luis Muriel (Lecce/Udinese) and Stephan El Shaarawy (Milan)
Serie B revelations: Ciro Immobile (Genoa), Lorenzo Insigne (Napoli), Marco Verratti (PSG) – all were with Pescara
Best Club: Juventus
Best Referee: Nicola Rizzoli
Lifetime Achievement Award: Pippo Inzaghi

0 comments:

Post a Comment