
Klabu ya Borussia Dortmund imeendeleza makali yake katika Ligi kuu ya soka nchini Ujerumani maarufu kama Bundesliga.Dortmund walipata magoli yake kupitia kwa kiungo wao shupavu Jakub
Blaszczykowski(Kuba) katika dakika za 18 na 21 huku mshambuliaji Robert Lewandowski naye akifunga goli la tatu katika dakika ya 88.
0 comments:
Post a Comment