Hatimaye klabu ya soka ya Juventus ya nchini Italia imemsainisha mchezaji nyota wa klabu ya Athletic Bilbaoya nchini Hispania Fernando Llorente kwa mkataba wa miaka minne(4) taarifa na mtandao wa Juventus.Llorente atakuwa akilipwa euro milioni 4.5 kwa mwaka.
Thursday, January 24, 2013
BREAKING NEWS: JUVENTUS WAMSAINI LLORENTE
Posted on 6:05 AM by Unknown
Hatimaye klabu ya soka ya Juventus ya nchini Italia imemsainisha mchezaji nyota wa klabu ya Athletic Bilbaoya nchini Hispania Fernando Llorente kwa mkataba wa miaka minne(4) taarifa na mtandao wa Juventus.Llorente atakuwa akilipwa euro milioni 4.5 kwa mwaka.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment