
Mchezaji wa Man Uinted Wayne Rooney atakuwa nje kwa wiki tatu kocha wa Man United Sir Alex Ferguson amethibitisha hilo.Rooney ambaye alicheza mechi ya Ligi wiki iliyopita dhidi ya Swansea aliondolewa katika kikosi cha leo kilichocheza dhidi ya Newcastle United mara baada ya kugundulika kuwa ameumia katika shehemu ya mguu wake katika mazoezi ya timu hiyo jana.
Rooney ataungana na wachezaji wengine ambao ni majeruhi kama Ashley Young,Danny Welbeck na Phili Jones.
0 comments:
Post a Comment