Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Monday, December 24, 2012

PARDEW: AMEOBI HAENDI MATAIFA YA AFRIKA

 Shola Ameobi
Kocha wa timu ya soka ya Newcastle United ya nchini England  Allan Pardew amesema kuwa hatomruhusu mchezaji Shola Ameobi kwenda katika michuano ya mataifa ya Afrika inayojulikana kama 'African Cup Of Nations' nchini Afrika Kusini.Ameobi ambaye ameitwa katika kikosi cha wachezaji wa awali wa timu ya taifa ya Nigeria kwa ajili ya maandalizi ya michuano hiyo anaweza kupata wakati mgumu wa kupata ruhusa toka kwa kocha huyo ambaye anasema kuwa Newcastle bado inamhitaji sana Ameobi.


0 comments:

Post a Comment