Katika tukio lingine,nahodha huyo wa timu ya Liverpool pamoja na timu ya taifa ya England alimtaja mshambuliaji Luis Suarez kama mmoja kati ya washambuliaji wake bora aliopata kucheza nao katika timu ya Liverpool.Gerrad anasema kuwa Suarez ni bora zaidi ya wachezaji nyota ambao yeye Gerrard alipata kucheza nao kama Robbie Fowler,Michael Owen pamoja na Fernando Torres.
Tuesday, November 6, 2012
XABI ALONSO NDIYYE KIUNGO WANGU BORA-GERRARD
Posted on 11:05 AM by Unknown
Katika tukio lingine,nahodha huyo wa timu ya Liverpool pamoja na timu ya taifa ya England alimtaja mshambuliaji Luis Suarez kama mmoja kati ya washambuliaji wake bora aliopata kucheza nao katika timu ya Liverpool.Gerrad anasema kuwa Suarez ni bora zaidi ya wachezaji nyota ambao yeye Gerrard alipata kucheza nao kama Robbie Fowler,Michael Owen pamoja na Fernando Torres.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment