Katika taarifa yake kwa mashabiki mchezaji huyo ameomba msamaha kwa mashabiki wa Arsenal na kusema kuwa wazo la kubadilishana jezi lilikuwa ni la Van Persie mwenyewe hivyo yeye kujikuta akiipokea jezi ya nyota huyo na kisha kumpa yake kama ishara ya 'Fair Play'.Andre Santos amejumuishwa katika kikosi cha cha Arsenal kilichosafiri kwenda Ujerumani kupambana na Schalke 04 katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya leo usiku.
Monday, November 5, 2012
SANTOS AOMBA MSAMAHA SAKAT LA KUBADILISHANA JEZI NA VAN PERSIE
Posted on 11:07 PM by Unknown
Katika taarifa yake kwa mashabiki mchezaji huyo ameomba msamaha kwa mashabiki wa Arsenal na kusema kuwa wazo la kubadilishana jezi lilikuwa ni la Van Persie mwenyewe hivyo yeye kujikuta akiipokea jezi ya nyota huyo na kisha kumpa yake kama ishara ya 'Fair Play'.Andre Santos amejumuishwa katika kikosi cha cha Arsenal kilichosafiri kwenda Ujerumani kupambana na Schalke 04 katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya leo usiku.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment