Baada ya taarifa rasmi kutoka kunako klabu ya Chelsea kuwa aliyekuwa meneja wa Chelsea Roberto Di Matteo kafukuzwa kazi, taarifa za hivi punde zinasema kuwa kocha wa zamani wa vilabu vya Valencia na Liverpool Rafa Benitez ametangazwa kuchukua mikoba ya kocha Di Matteo kunako klabu ya Chelsea.
Wednesday, November 21, 2012
BENITEZ KOCHA MPYA CHELSEA
Posted on 12:49 PM by Unknown
Baada ya taarifa rasmi kutoka kunako klabu ya Chelsea kuwa aliyekuwa meneja wa Chelsea Roberto Di Matteo kafukuzwa kazi, taarifa za hivi punde zinasema kuwa kocha wa zamani wa vilabu vya Valencia na Liverpool Rafa Benitez ametangazwa kuchukua mikoba ya kocha Di Matteo kunako klabu ya Chelsea.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment