Zifuatazao ni mechi ambazo Celtic wallibuka na ushindi wa kihistoria.
- Klabu Bingwa Ulaya , Novemba 21 2006: Celtic 1-0 Man United goli la Shunsuke Nakamura kwa njia ya adhabu ndogo.
- Klabu Bingwa Ulaya Oktoba 3 2007: Celtic 2-1 AC Milan huku Kaka akifunga kwa upande wa AC Milan mara baada ya Celtic kufunga kupita kwa wachezaji wake Stephen McManus na Scott McDonard.
- UEFA cup March 11 2004,Celtic 1-0 Barcelona,goli la Alan Thompson huku mechi hiyo ikishuhudia kadi tatu za nyekundu kwa wachezaji Rab Douglas wa Celtic na Javier Saviola na Thiago Motta wa Barcelona.
- UEFA cup March 23 2003,Liverpool 0-2 Celtic,huku Celtic wakipata ushindi wa jumla wa magoli 3-1.Magoli ya Celtic yalifungwa na Alan Thompson na John Hartson.
- European cup, May 25 1967-Celtic 2-1Inter Milan,mechi hii iliifanya klabu ya Celtic kuwa klabu ya kwanza toka nchini Uingereza kushinda kombe la Ligi ya Ulaya kwa kuwafunga Inter Milan magoli 2-1 kwa magoli ya Tommy Gemmell na Stevie Chalmers.
- European cup,Apr 15 1970 - Celtic 2 Leeds 1 katika mechi iliyoudhuriwa na watazamaji 138,000 pale Hampdern Park.
0 comments:
Post a Comment