Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Wednesday, October 17, 2012

URENO YALAZIMISHWA SARE NA IRELAND YA KASKAZINI

Fans' favourite: Portuguese supporters show their appreciation of Cristiano Ronaldo
Timu ya Taifa ya Ureno nayo ilikwenda sre ya magoli 1-1 na timu ya Ireland ya Kaskazini katika kufuzu kwa fainali za kombe la dunia mwaka 2014 nchini Brazil kwa bara la Ulaya.Alikuwa ni Helder Postiga aliyesawazisha goli la Ureno mara baada ya kuwa nyuma kwa goli moja lilifungwa na McGinn.
Jump to it: Postiga vies with Jonny Evans and keeper Roy Carroll
Katika pambano hilo winga wa klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo alikuwa akitimiza mechi yake ya 100 tangu aanze kuichezea timu hiyo ya Ureno mwaka 2003.

0 comments:

Post a Comment