![]() |
Fabrizio Ravanelli na Gianluca Pagliuca |
Nyota hao walikuwa ni pamoja na Fabrizio Ravanelli na Gianluca Pagliuca.Ravanelli ambaye alishinda taji hilo akiwa na klabu ya Juventus ya nchini Italia mwaka 1996 alionekana akiwa na furaha sana mara baada ya kulishika kombe hilo la Ulaya.Kwa upande wa Pagliuca ambaye ni balozi wa jiji la Bologna kupitia kampuni ya Unicredit naye alikuwa ni mwenye furaha nyingi mno.
Tukumbuke Pagliuca alifika fainali akiwa na klabu ya Sampdoria mwaka 1992 ambapo fainali walifungwa na klabu ya Barcelona
0 comments:
Post a Comment