
Alikuwa ni Mgiriki Giorgos Samaras ambaye ameipa ushindi wa magoli 3-2 dhidi ya klabu ya Spartak Moskva.Magoli ya Celtic yalifungwa na Hooper dakika ya 12,Kombarov katika dakika ya 71 ambaye alijifunga na Samaras dakika ya 90.Huku magoli ya Spartak yalifungwa na Emenike katika dakika za 41na 48.
0 comments:
Post a Comment