Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Saturday, October 20, 2012

NORWICH YAIDUWAZA ARSENAL

Holt from the blue: The Norwich skipper (right) celebrates his early goal
Mfungaji wa goli la Norwich Grant Holt akishangilia goli 
Klabu ya Arsenal imekubali kipigo cha goli moja toka kwa klabu ya Norwich katika mwendelezo wa Ligi Kuu ya soka nchini England.Goli la Norwich lilifungwa na mshambuliaji na nahodha  timu hiyo Grant Holt katika dakika ya ya 19 ya mchezo na lilidumu kwa dakika zote 90.
Back on the bench: Arsenal's Jack Wilshere (centre) made a matchday squad for the first time in over a year
Nimerudi tena,Jack Wilshere akiwa katika benchi la wachezaji wa akiba
Katika mchezo huo kiungo wa kimataifa wa England Jack Wilshere aliweza kukaa benchi la wachezaji wa akiba kwa mara ya kwanza baada ya kipindi cha takribani miezi 14.Lakini kocha Arsene Wenger hakumchezesha kiungo huyo katika mechi ya jana.

0 comments:

Post a Comment