![]() |
Van Persie akifunga goli kwa penati |

Robin Van Persie alifunga goli la pili katika dakika ya 81 kupitia mkwaju wa penati baada ya winga Antonio Valencia kuangushwa na beki Glen Johnson katika eneo la hatari.
Man United ilishinda magoli 2-1.

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com
![]() |
Van Persie akifunga goli kwa penati |
0 comments:
Post a Comment