Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Sunday, September 23, 2012

HAKUNA MBABE KATI YA WANANCHI NA WASHIKA MITUTU

 Blue is the colour: Lescott celebrates after scoring with six minutes remaining before the interval
 Ilikuwa ni sare ya 1-1 ambayo ilipatikana katika uwanja wa Etihad Stadium kati ya Manchester City dhidi ya Arsenal.Pambano lilikuwa la kusisimua sana kwani mechi ilikuwa ya wazi sana na kila timu ilionesha kujiandaa vyema kwa kupeleka mashambulizi kwa kila upande lakini mpaka mwisho wa mchezo mwamuzi Mike Dean anapuliza kipenga pambano liliisha kwa sare ya magoli 1-1.
One minute's applause: The Etihad Stadium pay their respects to murdered PC's Fiona Bone and Nicola Hughes
Goli kwa upande wa Man City lilifungwa na Jeleon Lescott dakika ya 40 kabla ya Laurent Koscielny kusawazisha katika dakika ya 82.
Matokeo mengine.

Come in No 6: Koscielny wheels away in celebration after netting for the Gunners


0 comments:

Post a Comment