
Klabu ya Juventus imezidi kujikita kileleni katika Serie A mara baada ya kuifunga timu ya AS Roma kwa magoli 4-1.Magoli ya Juventus yakifungwa na Andrea Pirlo dakika ya 11,Vidal kwa njia ya penati dakika ya 16,Alessandro Matri katika dakika ya 19 na Giovinco dakika ya 90.Goli la Roma lilifungwa na Pablo Osvaldo kwa njia ya penati katika dakika ya 68.
0 comments:
Post a Comment