Klabu ya Barcelona iliendeleza makali yake katika Ligi Kuu ya soka nchini Hispania 'La Liga' mara baada ya kuifunga timu ya Sevilla kwa magoli 3-2.Magoli ya Barcelona yalifungwa na Cesc Fabregas katika dakika za 53 na 89 huku mshambuliaji David Villa naye akifunga dakika ya 93 likiwa goli lake la tatu la msimu.
Magoli kwa upande wa Sevilla yalifungwa na Piotr Trochowski dakika ya 26 na Alvaro Negredo dakika ya 48.
0 comments:
Post a Comment