Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Saturday, September 29, 2012

BAADA YA MIAKA 23 SPURS YASHINDA OLD TRAFFORD

There it is! Clint Dempsey scored Tottenham's third goal at Old Trafford
\Ilikuwa ni siku ya furaha kwa mashabiki wa klabu ya Tottenham Spurs siku ya jana baada ya kushuhudia timu hiyo ikifanya kitendo cha kuifunga klabu ya Manchester Umited baada ya miaka 23 ambapo mara ya mwisho timu hiyo kuifunga United ilikuwa mwaka 1989 hapo Old Trafford.
Just checking: Sir Alex Ferguson took his United players in at 2-0 down at half-time

Spurs walioingia uwanjani na falsafa tofauti pindi wanapokabiliana na Man united,walionekana kutulia na kucheza kwa kujiamini huku wakishambulia kwa mtindo wa mashambulizi ya kushtukiza 'counter attack'.Hakuna shaka kuwa Spurs walikuwa na rekodi mbaya sana hapo Old Trafford tangu goli la Gary Lineker mwaka 1989 ambapo timu hiyo iliyokuwa chini ya kocha Margaret Thatcher ndipo ilipoonja ladha ya ushindi na tangu mwaka huo 1989 ushindi wa Spirz Old Trafford ulikuwa ni ndoto.Wakiongozwa na viungo Mousa Dembele,Sandro,Bale,Lennon huku Jermain Defoe akicheza kama mshambuliaji pekee Spurz ilikuwa ni timu bora sana uwanjani hapo jana.

Call it a comeback: Nani pulled a goal back for United after half time
Magoli ya Spurs yalifungwa na Vertonghen 3, Bale 32, Dempsey 52.Huku Nani na Kagawa waliifungia Man United katika dakika za 51 na 53.

0 comments:

Post a Comment