![]() |
Kwado Asamoah |
Mchezaji raia wa Ghana ambaye ameamia klabu ya Juventus msimu huu akitokea klabu ya Udinese Kwado Asamoah ndiye kinara katika kupiga pasi za magoli(Assist) katika Ligi Kuu ya soka nchini Italia maarufufu kama Serie A.Katika orodha hiyo ya wapiga pasi za mwisho wamo pia,
Fransesco Totti (AS Roma) Pasi (2)
Mirko Vucinic (AS Roma) Pasi (2)
Alesio Sestu (Siena) Pasi (2)
0 comments:
Post a Comment