Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Sunday, August 26, 2012

NI JUVENTUS TENA



TURIN, ITALY - AUGUST 25:  Claudio Marchisio of Juventus FC salutes the crowd at the end of the Serie A match between Juventus and Parma FC at Juventus Arena on August 25, 2012 in Turin, Italy.
Claudio Marchisio
 

Juventus' Andrea Pirlo (2nd L) celebrates with his teammates after winning their Serie A soccer match against Parma at the Juventus stadium in Turin August 25, 2012.
Pirlo na wachezaji wenzake wakishangilia ushindi

 Klabu ya Juventus jana ilianza vyema Ligi ya serie A kama bingwa mtetezi baada ya kuifunga klabu ya Parma kwa magoli 2-0.Magoli ya Juve yalifungwa na Andrea Pirlo na Stefan Lichesteiner.
Na wakati huohuo kocha wa Fiorentina Vincenzo Montella alianza vyema kama kocha mpya wa Fiorentina baada ya kuiongoza klabu hiyo maarufu kama Viola kuifunga Udinese magoli 2-1 pale Estadio Artemio Franchi.
FLORENCE, ITALY - AUGUST 25:  Vincenzo Montella head coach of ACF Fiorentina looks on during the Serie A match between ACF Fiorentina and Udinese Calcio at Stadio Artemio Franchi on August 25, 2012 in Florence, Italy.
Vicenzo Montella




FLORENCE, ITALY - AUGUST 25:  ACF Fiorentina team poses before the Serie A match between ACF Fiorentina and Udinese Calcio at Stadio Artemio Franchi on August 25, 2012 in Florence, Italy.
Kikosi cha Fiorentina

0 comments:

Post a Comment