Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Friday, August 10, 2012

MANENO YA JOSE MOURIHNO KWA WACHEZAJI WAKE BAADA YA KIPIGO CHA GOLI 5 DHIDI YA BARCELONA


Ilikuwa ni tarehe 29 mwezi Novemba mwaka 2010 pale Camp Nou (Barcelona) majira ya sa 4 hivi usiku kwa saa za Afrika Mashariki wapenzi wa soka duniani walipata kushuhudia moja kati ya mechi zinazotajwa kuwa na mvuto mkubwa duniani na zenye upinzani wa hali ya juu kati ya Fc Barcelona dhidi ya Real Madrid.
Ni mechi inayotambulika kama ‘EL CLASSICO’ pindi timu hizi zinapokutana.Leo katika sports galla namleta kwenu Jerzy Dudek ambaye anatuambia katika kitabu chake kinachoitwa ‘under pressure’ namna hali ilivyokuwa baada ya mechi na hasa maneno ya Mourinho kwa wachezaji wa Madrid baada ya mechi dhidi ya wapinzani wao Barcelona pale Camp Nou.Namnukuu;
It was “chaos in the locker room. Some players were crying, others were arguing, some looked to the ground. Mourinho then entered the locker room. He knew what had happened was awful for the team.
"We looked at him and he said, ‘I know this hurts you. Perhaps for most of you it is the worst loss of your entire career. They are happy now and seem to have won the championship, but have only won one game. This is just the beginning. There is still a long way to get the title.
"'Tomorrow I will give you the day off, but do not stay in your houses. Go with your families, children or friends for a walk around the city. Let people see that you can overcome this. Perhaps people talk about the significance of this defeat, but do not hide behind it. You must show your manhood. After this defeat, we must fight for the title.'"mwisho wa kunukuu.
Kwa ufupi Mourinho aliwaambia wachezaji wake wakale bata kama kawaida pamoja na familia zao,marafiki,ndugu au watu wa karibu wa wachezaji hao na wala wasiogope au kuona aibu kwa kipigo walichopewa dhidi ya Barcelona.Kwa kuimaanisha kauli yake,Mourinho aliwapa mapumziko siku iliyofuata wachezaji wote wa Real Madrid.
Swali; Je ni makocha wangapi wanaweza fanya hivyo kwa kuwaruhusu wachezaji wao kula bata mara tu timu inapofungwa na wapinzani wao wakubwa?


0 comments:

Post a Comment