Akicheza kwa mara ya kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu,mchezaji mpya wa Chelsea Eden Hazard alionesha thamani yake ya fedha ya hela za ulaya(euro 32m) katika mechi ya jana ambapo Chelsea walicheza na Wigan.Hazard alitoa pasi ya goli la kwanza dk 2 lililofungwa na Ivanovic na pia alisababisha penati dk 8 iliyofungwa na Frank Lampard.Chelsea iliifunga Wigan magoli 2-0.
Monday, August 20, 2012
EDEN HAZARD AANZA KAZI CHELSEA
Posted on 3:31 AM by Unknown
Akicheza kwa mara ya kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu,mchezaji mpya wa Chelsea Eden Hazard alionesha thamani yake ya fedha ya hela za ulaya(euro 32m) katika mechi ya jana ambapo Chelsea walicheza na Wigan.Hazard alitoa pasi ya goli la kwanza dk 2 lililofungwa na Ivanovic na pia alisababisha penati dk 8 iliyofungwa na Frank Lampard.Chelsea iliifunga Wigan magoli 2-0.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment