Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Wednesday, August 29, 2012

DROGBA ATUA CHELSEA.




























 Didier Drogba alitua kwenye uwanja mazoezi wa Chelsea huku kila mchezaji akiwa haamini kama  ni yeye. Alipoulizwa na waandishi kuwa uiliahidi kutembela Chelsea ila sio mapema kiasi hiki akasema" ni kweli lakini kule China kuna mapunziko sasa na kuna mechi za kimataifa zinakuja kwa hiyo nimekuja kutembelea rafiki zangu na pia usisahau kuwa familia yangu bado iko hapa".








,

0 comments:

Post a Comment