Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Wednesday, August 22, 2012

BEKI WA ARSENAL ASHIKILIWA NA POLISI KWA KOSA LA KUENDESHA GARI KWA KASI

Beki wa Arsenal Andre Santo anaweza kupelekwa jela kwa makosa mawili.Kwanza ni kwa kosa la kuendesha gari kwa mwendo wa kasi na pili kwa kosa la kuwakimbia askari wa usalama barabarani wakati akitokea katika uwanja wa mazoezi wa Arsenal unaoitwa the Gunners’ London Colney training ground.
Kutokana na tukio hilo Santo anaweza kukumbwa na adhabu ya kwenda jela miaka miwili.Kesi yake itaanza kuunguruma mwezi ujao na wakati huohuo gari aliyokuwa akiitumia ya  Maserati GranTurismonayo imekamatwa na ipo katika uchunguzi maalum.

0 comments:

Post a Comment