
Magoli mawili ya washambuliaji Said Bahanuzi na Jerry Tegete yalitosha kuipa labu ya Yanga ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya timu ya Black Leopards ya nchini Afrika Kusini.Mchezo huo wa kirafiki ulichezwa katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza
A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com
0 comments:
Post a Comment