
Magoli mawili ya wachezaji Siyabonga Sangweni na Lehlohonolo Majoro yalitosha kuipa ushindi timu ya taifa ya Afrika Kusini maarufu kama Bafana Bafana dhidi ya Angola katika mchezo wa kundi A.Mechi ijayo ni Morroco dhidi ya Cape Verde saa 3usiku.Afrika Kusini 2-0 Angola.
0 comments:
Post a Comment