Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Sunday, January 20, 2013

SNEIDJER AJIUNGA NA GALATASARAY


 

Hatimaye kiungo nyota kunako klabu ya Inter Milan Wesley Sneidjer amejiunga rasmi na klabu ya Galatasaray kwa mkataba wa miaka mitatu mara baada ya kufuzu vipimo katika klabu hiyo.Akizungumza katika mtandao wa klabu hiyo Sneidjer alisema"nafuraha kujiunga na klabu hii na sitosubiri kuvaa jezi za timu hii ya Galatasaray".Sneidjer alikuwa katika wakati mgumu katika timu ya Inter Milan mara baada ya kukataa kukatwa mshahara wake kama wa euro milioni 6 kwa mwaka.

0 comments:

Post a Comment