
Klabu ya Man City imeendelea kuwafukuzia vinara wa Ligi hiyo Man United katika mwendelezo wa Ligi Kuu ya soka nchini England baada ya kuwafunga Stoke City kwa magoli 3-0.Magoli ya Man City yalifungwa na beki Pablo Zabaleta na washambuliaji Edin Dzeko pamoja na Sergio Kun Aguero kwa mkwaju wa penati mara baada ya kiungo David Silva kuangushwa katika eneo la penati.
0 comments:
Post a Comment