Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Tuesday, January 1, 2013

CHICHARITO NA VAN PERSIE WAZIDI KUING'ARISHA MAN UNITED

 Going Dutch: Robin van Persie was central to everything good in United's play, and scored the second
Ligi kuu ya soka nchini England imeendelea tena kwa mechi mbalimbali kupigwa katika viwanja mbalimbali huku macho ya wapenda kabumbu yakiwa zaidi katika viwanja vya DW uwanja unaomilikiwa na klabu ya Wigan pamoja na pale Etihad Stadium kunako jiji la Manchester.
Pounced: Hernandez was on hand to stroke in the opener midway the first half at the DW
Katika uwanja wa DW klabu ya Wigan iliikaribisha masheatani wekundu Man United.Katika pambano hilo kulikuwa na mandhari nzuri kwa kocha wa Man United Sir Alex Ferguson ambaye jana tarehe 31/12/2012 alitimiza umri wa miaka 71.Hongera sana kwa siku ya kuzaliwa Sir Alex Ferguson.Katika mechi hiyo Man United iliibuka na ushindi wa magoli 4-0 huku shukrani ziwaendee washambuliaji wa Man United Javier Hernandes 'Chicharito' aliyefunga magoli 2 na Robin Van Persie kufunga magoli 2 pia.

0 comments:

Post a Comment