
Klabu ya soka ya Lazio jana iliweza kutinga fainali ya Copa Italia mara baada ya kuifunga klabu ya Juventus kwa magoli 2-1 katika pambano kali na la kusisimua lililopigwa katika uwanja wa Estadio Olimpico.Magoli ya Lazio yalifungwa na Alvaro Gonzales na Sergio Flocari wakati Arturo Vidal alifunga kwa upande wa Juventus
0 comments:
Post a Comment