Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Thursday, November 1, 2012

WAKATI SAKATA LA UBAGUZI WA RANGI LIKIZIDI KUSUMBUA KATIKA SOKA LA ULAYA ANGALIA PICHA HII

Kumekuwa na matukio ya aibu sana  ya ubaguzi wa rangi hivi karibuni katika soka la Ulaya hasa yanayohusu soka la nchni England.Wakati kukiwa kumeripotiwa kwa tukio la ubaguzi wa rangi la mchezaji wa Chelsea Obi Mikel ambaye anamshutumu refa Mark Clattenburg kwa kumtolea lugha ya ubaguzi akimwita 'Monkey-Nyani' katika pambano la miamba Chelsea dhidi ya Manchester United juma lililopita,tukio lingine limetokea jana katika mechi kati ya Chelsea dhidi ya Manchester United.

Jana katika pambano la wapinzani hao wa jadi katika soka la nchini England kulitokea pia vitendo vilivyoonesha mashabiki wa Chelsea wakimbagua mshambuliaji wa Manchseter United Danny Welbeck katika kombe la Ligi linaloitwa sasa Capital Cup One.

Embu angalia hii picha:
Shabiki wa Chelsea akionesha kiendo cha ubaguzi kwa mchezaji wa Man U Danny Welbeck

0 comments:

Post a Comment