wachezaji wa Chelsea Mata na Cahill wakimpongeza Moses |
Klabu ya Chelsea jana ililipiza kisasi katika michuano ya Klabu Bingwa Ulaya mara baada ya kuifunga timu ya Shakhtar Donestic toka nchini Ukraine.Ilikuwa ni mechi ya marudiano mara baada ya Chelsea kukubali kipigo cha magoli 2-1 katika mechi ya kwanza iliyofanyika uwanja wa Donbass Arena kunako nchi ya Ukraine.Katika mechi ya jana Chelsea iliibuka na ushindi wa magoli 3-2 kwa magoli ya Fernando Torre dk 6,Oscar dakika ya 40 na Victor Moses 90 huku magoli ya Shakhtar yakifungwa na William yote mawili katika dakika za 9 na 47.
0 comments:
Post a Comment