Miaka minne iliyopita ni timu za Tunisia zilicheza fainali ya kombe hilo na kabla ya hapo timu za Ghana nazo zilicheza katika fainali ya kombe hilo.Al Hilal iliifunga timu ya Djoliba ya nchini Mali kwa magoli 2-0 kwa magoli ya nyota toka nchi ya Senegal Ibrahim Sane na Msudani Mudhasir Eltaib wakati Al Merreikh iliifunga timu ya FC Leopards toka nchini Congo kwa magoli 2-1.
Je,hilo litatokea?tusubiri tuone
0 comments:
Post a Comment