Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Tuesday, September 4, 2012

RAUL MEREILES AKIWA NA UZI MPYA


Raul akiwa na uzi mpya wa klabu ya Fenerbache
 Timu ya Fenerbache ya Uturuki imetangaza rasmi kwenye mtandao wake kwamba imefanikiwa kumsajili mchezaji wa Raul Mereiles kutoka Chelsea ya nchini  Uingereza. Raul Mereiles ataungana na mchezaji mwenzake wa zamani wa Liverpool Dirk Kuyt na pia wanataraji kumpata John Heitinnga kutoka Everton ya nchini Uingereza kabla dirisha la usajili nchini Uturuki kufungwa hapo mnamo tarehe 5 mwezi huu wa tisa.

Raul Mereiles wakati wake mzuri katika jezi ya Chelsea lazima itakuwa msimu uliopita pale walipoilazimisha Barcelona kutoka sare ya kufungana mabao 2-2 katika mashindano ya Klabu bingwa barani Ulaya pale Stanford Bridge na hakuonekana chaguo la kwanza la kocha  Di matteo baada ya Andre Villas Boas kufukuzwa kazi hapo Chelsea.


Raul Meireles akiwa kazini











0 comments:

Post a Comment