Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Saturday, August 18, 2012

NI SWANSELONA NA SIYO SWANSEA

Wakicheza chini ya kocha mpya Michael Laudrup,Swansea wameendelea na maajabu yao katika EPL baada ya kuwafunga QPR magoli 5 kwa bila.Cha kufurahisha ni kuwa klabu ya Swansea iliweza kupiga mashuti 11 kwa ujumla huku mashuti 6 tu yakilenga golini(shots on target) lakini wakafunga magoli 5.
Hao ndiyo Swanselona na siyo Swansea City

0 comments:

Post a Comment