Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Wednesday, August 22, 2012

BREAKING NEEEWS: VILABU VYA ITALIA VYA RUHUSIWA KUWA NA WACHEZAJI WA AKIBA 12

Aurelio Di Laurentiis
Rais wa Napoli akiwatambulisha wachezaji Inler na Fernandez
Likiwa ni wazo la Rais wa Napoli  Aurelio Di Laurentiis,hatimaye chama cha soka nchini Italia FIGC lakubali ombi la vilabu vya Italia kuwa na wachezaji 12 katika benchi baada ya ya wale 11 wa uwanjani.Idadi hiyo itafanya vilabu kuwa na wachezaji 23 katika mechi moja.

0 comments:

Post a Comment