Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Tuesday, August 14, 2012

BREAKING NEEEEEEEEWS - ARSENAL KUMUACHIA VAN PERSIE KUJIUNGA NA MAN UNITED

Habari zilizopatikana hivi punde kutoka katika gazeti la The Sun (Uingereza) zinataarifu kuwa klabu ya Arsenal hatimaye imekubali kuzungumza na klabu ya Man United kwa ajili ya uhamisho wa Mshambuliaji Robin Van Persie kwenda Man Utd kwa ada ya Euro Mil. 22. Tutaendelea kuwafahamisha kila habari mpya kuhusu mshambuliaji huyo wa Arsenal pindi zitakapotufikia.

0 comments:

Post a Comment