Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Monday, August 27, 2012

AZAM YAMUACHA MOSES ODHIAMBO "Blackberry"

Timu ya soka ya Azam ya  imeamua kuachana na mchezaji raia wa Kenya Moses "Blackberry"Odhiambo Ogutu kutokana na utovu wa nidhamu,Mchezaji huyo aliyetokea klabu ya Randers ya nchini Denmark ameachwa na klabu ya Azam kutokana na utovu wa nidhamu ambao unahusishwa na Odhiambo kutohudhuria mazoezi katika klabu hiyo kwa muda wa siku nne.

0 comments:

Post a Comment