Katika pambano hilo kiungo mpya wa timu ya AC Milan Nigel De Jong alicheza kwa mara ya kwanza katika timu hiyo akiingia kipindi cha pili.
Matokeo mengine ni:
Pale Stadio Olimpico Di Torino vijana wa Torino waliifunga timu ya Pescara magoli 3-0.Magoli ya Torino yalifungwa na Alessandro Sgrigna dk 34,Matheo Brighi dk 58 na Rolando Bianchi dk 62.
![]() |
Pazzin |
0 comments:
Post a Comment