Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Sunday, September 2, 2012

NI GIAMPAOLO PAZZIN AC MILAN

Ilikuwa shangwe pale Stadio Renato Dall'Ara ambapo vijana ya Rosoneri AC Milan waliwapigisha kwata vijana wa Bologna kwa kuwafunga magoli 3-1.Pambao hilo liliokuwa kali na la kusisimua lilimshuhudia mshambuliaji mpya wa timu ya AC Milan Giampaolo Pazzin akifunga magoli matatu peke yake maarufu kama hat-trick.

Katika pambano hilo kiungo mpya wa timu ya AC Milan Nigel De Jong alicheza kwa mara ya kwanza katika timu hiyo akiingia kipindi cha pili.
Matokeo mengine ni:
Pale Stadio Olimpico Di Torino vijana wa Torino waliifunga timu ya Pescara magoli 3-0.Magoli ya Torino yalifungwa na Alessandro Sgrigna dk 34,Matheo Brighi dk 58 na Rolando Bianchi dk 62.

Giampaolo Pazzini - Milan
Pazzin

0 comments:

Post a Comment