Arsene na Arsene wenger wanaweza kupokea habari nzuri
unaweza kusema kuliko zote hasa katika kipindi hiki baada ya Jack Wilshere
kuanza kupangiwa mazoezi mfululizo ya
mpira akitikoka katika mazoezi ya Kujenga mwili na kuiimarisha misuli yake iliyokuwa imepatwa na majerha.Jack Wilshere
amekekaa nje ya uwanja kwa takribani miezi 12 sasa na kurejea kwake ni faaraja
sio kwa Arsene Wenger pekee bali pia hata kwa kocha wa kikosi cha timu ya taifa
Roy Hogson.
Baada ya kumaliza wiki ya mazoezi na mpira Wilshere anatarjiwa
kucheza michezo mitatu na timu ya wachezaji wa akiba kabla ya kurejea kabisa
kwenye pilikapilika na kikosi cha kwanza kuilisaka taj lilokosekana Emirates
kwa msimu wa 7 sasa mwishoni mwa mwezi
huu. Arsenal pia inachagizwa na kurejea kwa beki wake kulia wa kutumaniwa
Bacary Sagna mwishoni mwa mwezi huu baada ya kukosekana kwa
takribani miezi 4
alipovunnjika mguu mwezi Mei katika mchezo dhidi ya Norwich City.
0 comments:
Post a Comment