Quintel Blogger theme

A free Premium Blogger theme from newbloggerthemes.com

Thursday, August 30, 2012

CHELSEA WAONGOZA KATIKA KUTUMIA FEDHA LIGI KUU UINGEREZA


 
 Kwa mijibu wa mtandao wa Deloitte,klabu ya Chelsea inaongoza kwa kutumia fedha nyingi katika usajiri wa wachezaji tangu timu hiyo ichukuliwe na bilionea Roman Abramovich mwaka 2003.Katika orodha hiyo inayoshirikisha timu 20 za Ligi Kuu  ya Uingereza,Chelsea imezipiku timu kama Manchester United,Manchester City,Liverpool na Arsenal.


1. Chelsea 673m    
2. Man City 572m
3. Liverpool 414m
4. Man United 352m
5. Tottenham 350m
6. Arsenal 214m
7. Aston Villa 20m
8. Sunderland 187m
9. Newcastle 174m
10. Everton 129m
11. West Ham 123m
12. Wigan 110m
13. Fulham 107m
14. Portsmouth 100m
15. Birmingham 92 m
16. Blackburn 87m
17. Stoke 84m
18. Bolton 76m
19. Middlesbrough 71m
20. West Brom 64m


0 comments:

Post a Comment